Methali na semi za Kibajuni (2)

Proverbs and sayings from the Bajuni community.

  1. Inyueni changa chwendeni, baharini si nkao
  2. Ukuru ni yaa
  3. Kuvunḏika kwa koleo sio mwisho wa uhunḏi
  4. Avavie kisimani na nṯungini si tamu
  5. Kila mwamba ngoma ngodhi huvuchia kwake
  6. Nianisie kuuma dhidhidie kuva mai
  7. Nlio wa ṉoni ausikiao ni ṉoni.
  8. Ukicha mwana kulia mwisho utalia uwe
  9. Alie mekoni ndrie adhimae mocho
  10. Mwendra ṯedhi na omo marejeo ni ngamani
  11. Ambacha ukucha punda weyao
  12. Nṯedha kwavo huchudhwa
  13. Mupembavo vana venyu na vangu nipembeani
  14. Kikuu hukua kwavo pembe humea kiṯwani
  15. Adhidhieo haisi hunena usuluhie
  16. Sacho uko ishimoni ikinda humidha vachu
  17. Nchu havi nchu mpaka ave na kichu cha kumpa nchu
  18. Nchu nkwavo
  19. Akupeo kichi uwe ndrie anipeo ikumbi
  20. Nchu ndrue