Methali na Semi za Kibajuni (5)
Proverbs and sayings from the Bajuni community.
- Sichie dhema nṯanga siku adhiki hufaa
- Aṯangae na yuva huyua
- Usiaṯe kadhi kabla a kupacha kadhi
- Vanishishie ombe natamani koa
- Kunewe kunyua pipa utasie kuchomoka
- Kipai cha jaha ni cha nja kuvakwa
- Iṯeke la kuku halimuumidhi mwanawe
- Nkunḏe isi angali nviṯi
- Kwene vadhee hapaharibiki yambo
- Mwenye nalo hangoji kuambiwa
- Ni yako ilio na doa roho angu nṉeupe
- Nchu duniani hucheswa na chake
- Mui huva mwema
- Kama nkweli nṯimidhie onyesha uvuli wako